BENJAMIN NETANYAHU AKANUSHA MADAI YA UJASUSI DHIDI YA MAREKANI
Netanyahu akanusha taarifa inayodai Israel kuhusika na ujasusi dhidi ya Marekani Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amekanusha taarifa zinazodai kuwa nchi yake inaipeleleza Marekani . Ripoti hiyo imeeleza kuwa maafisa watatu wazamani wa Marekani ambao wanasema kuwa Israel ilikuwa inahusika kuweka kifaa karibu na ikulu ya Marekani. Lakini maelezo kutoka katika ofisi ya Netanyahu imekanusha kutohusika kwa namna yoyote. "Israel ina majukumu mengi ya kuyafanyia kazi nchini mwake hivyo haiwezi kujihusisha na shughuli za ujasusi nchini Marekan Rais Donald Trump, aliulizwa na waandishi wa habari siku ya alhamisi kuhusu ripoti hiyo ya ujasusi naye alisema kuwa aamini kama Israel ilikuwa inaipeleleza Marekani . "Inaniwia vigumu kuamini kuwa Israel wana tuchunguza kwa sababu tuna uhusiano mzuri," Rais Trump alisema. alisema pia kuwa mwishoni mwa majadiliano ya mkataba wa nyuklia na viongozi wa Marekani wamekuwa wakipingana katika kuhamisha ubalozi wa ...
Comments
Post a Comment