INSTAGRAM KUUA SOKO LA TIK TOK






Wakati mtandao wa Snapchat ulipokuwa unatrend na staili take ya posti zinazodumu kwa masaa 24, Instagram waliamua kuja na staili Kama hiyo ili kuwapoteza katika ramani kwa kuanzisha kitu kinachoitwa "stories".
Sasa Instagram inakuja na kitu kingine kipya kinachoitwa "Clips", hiki kitakuwa kinafanyakazi kama mtandao wa Tiktok, kwa ambao hamfahamu mtandao wa Tiktok, ni moja ya mitandao ambayo inakuja Sana kwa Kasi, kwa maujanja ya video zikiwa na effect zenye ujazo wa juu.
Instagram Clips itakuwa na uwezo wa mtu kuposti video zikiwa na ujazo wa filters na effect ambazo zitaufanya mtandao huu kuzidi kupata umaarufu mwingi zaidi.

Comments

Popular posts from this blog

SOKO LA MIHOGO NA KANUNI ZAKE

KILIMO BORA CHA NYANYA NA SOKO LAKE

SOKO LA TIKITI MAJI NA KILIMO CHAKE