UBER KUJA KIUSALAMA ZAIDI






Kampuni ya Uber inatarajia kuzindua sasisho lake jipya ambalo litamwezesha mteja kusafiri kwa usalama zaidi nyakati za usiku bila wasi.
Toleo Hili litakuwa linafanyakazi kwa njia hii hapa, Kuna muda unaweza ukawa umeagiza usafiri ukufate Ila matokeo yake unajikuta umeingia katika gari ambalo silo, Sasa ili kuepusha visanga hivyo, Uber inaleta kitu kipya ambacho kinaitwa Pin, yaani kabla ya kuingia kwenye gari uliloagiza likufate, unamtumia dereva pincodes, dereva zikimfikia Basi wewe utapokea Ujumbe kwamba Hilo ndilo gari uliloagiza Ila Kama Ujumbe hautofika kwako Hilo si gari lenyewe.
Toleo hili linatarajiwa kuanza kufanyakazi majira ya usiku tu

Comments

Popular posts from this blog

SOKO LA MIHOGO NA KANUNI ZAKE

KILIMO BORA CHA NYANYA NA SOKO LAKE

SOKO LA TIKITI MAJI NA KILIMO CHAKE